Joline
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 3,805
- 6,330
Bora tu nibaki na ushamba wangu kuliko kumtongoza mwanaumeWe nawe
. Tupo zama za karne ya 21 unaleta mambo ya karne ya 3.
We Zombieeee.. HAUJUI
Bora tu nibaki na ushamba wangu kuliko kumtongoza mwanaumeWe nawe
. Tupo zama za karne ya 21 unaleta mambo ya karne ya 3.
We Zombieeee.. HAUJUI
Hata mi siwezi, uzuri kipindi hicho nilikuwa nikimpenda tu mkaka na yeye ananipenda, hivyo sijawahi sumbuka...Bora tu nibaki na ushamba wangu kuliko kumtongoza mwanaume
kama hauamini wape offer ya sex vidume watano tu kwenye simu yako halafu uone wangapi watasema hapana. Just andika tu...
Mwambie ajitongozesheYuko single.
Ndo umpe mbwinu Sasa, mwenzio kashindwa...Mwambie ajitongozeshe
Upo sahihi unachokisema bas wacha tungoje mrejesho wa mtoa madakama hauamini wape offer ya sex vidume watano tu kwenye simu yako halafu uone wangapi watasema hapana. Just andika tu...
"Chris nina nyege balaa leo, pls kama uko free njoo unipe joto mwenzio nahisi baridi"
Hahahahaha ukimpenda anakupendaje tu bila kumpa signals.Hata mi siwezi, uzuri kipindi hicho nilikuwa nikimpenda tu mkaka na yeye ananipenda, hivyo sijawahi sumbuka...
Mbona tayari kashaonesha ukicheche wake?Hello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Hilo swala tuwaachie wanaoliweza tu ,ulipata bahati.Hata mi siwezi, uzuri kipindi hicho nilikuwa nikimpenda tu mkaka na yeye ananipenda, hivyo sijawahi sumbuka...
Tuwekee ka picha bila usoSio mtakatifu, ila sio kicheche. Niamini mimi
Pia sio mrembo kama Tyla wa South Africa ila ni pisi na shepu ipo.
Sema wanawake akikutaka aisee wanakuaga ving'ang'anizi balaa kuliko ata sisi wanaume. Yaani hata ufanye nini lazima tu atakula mzigo hawezi kukubali 😄😄Hahahah hamna kijana anakataa offer ya mbunye, thats one in a million chances ndio inakuwa denied.
Yan kabla hajaanzaMbona tayari kashaonesha ukicheche wake?
Aniwekee mawasilinoNdo umpe mbwinu Sasa, mwenzio kashindwa...
Nafikiri ni vile nilivyokuwa na kamuonekano Fulani hivi kama Unique Flower ndo maana walikuwa hawachomoi..Hahahahaha ukimpenda anakupendaje tu bila kumpa signals.
Kuna mambo ulikuwa unayafanya aidha kwa kujua au kutokujua na ndio yaliwapa alert kuwa upo ready ku click nao thus why walikuwa wanakubless plus ile haiba na mvuto wa kike.
Nitongoze mimi basi,nipo SingleBora tu nibaki na ushamba wangu kuliko kumtongoza mwanaume
Yaani kashaonesha ukicheche afu anataka asionekane kicheche...Yan kabla hajaanza