Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,991
- 94,565
Mpigie Yesu makofi.Amina
Mpigie Yesu makofi.Amina
Sijui kwanini nimecheka jamani dah🤣🤣🤣🤣🤣Sawa, imani yako imekuponya.
Kuna mtaalam amesema umchape bakora kwa mti was mhogo. Bado tunasubiri afunguke baada ya kumchapa nini kitatokeaTukio linalofuatia ni nini baada ya kumuona mchawi?
Kumkamata.How?
Kumkimbiza, how?
Kumpiga, how?
Kupiga kelele. Je majirani watasikia?
Au kushangaa tu mpaka asubuhi?
Mweeeeeemweee
Wahasibu wake hawa mkuuHuyo Musa anawapa nini? Mbona kawashika akili zenu kirahisi sana?