Naomba mbinu za kumkamata mchawi

Tukio linalofuatia ni nini baada ya kumuona mchawi?
Kumkamata.How?
Kumkimbiza, how?
Kumpiga, how?
Kupiga kelele. Je majirani watasikia?
Au kushangaa tu mpaka asubuhi?
 
Tukio linalofuatia ni nini baada ya kumuona mchawi?
Kumkamata.How?
Kumkimbiza, how?
Kumpiga, how?
Kupiga kelele. Je majirani watasikia?
Au kushangaa tu mpaka asubuhi?
Kuna mtaalam amesema umchape bakora kwa mti was mhogo. Bado tunasubiri afunguke baada ya kumchapa nini kitatokea
 
Back
Top Bottom