nyaunyau
Senior Member
- Oct 28, 2009
- 132
- 26
Naomba kufahamishwa kuhusu usajili wa vyuo unaofanywa na NACTE,nilisoma kwenye TOVUTI yao orodha ya vyuo vilivyosajiliwa nikaona kuna preparatory,provissional na fully registration.mnaoelewa mimi nimesoma DIPLOMA chuo chenye usajili wa kati naweza kupata nafasi chuo kikuu ili niendelee na degree?.