kwa nguzo moja hua inagharimu bei gani ikiwa umeshafanya wiring
Nguzo moja gharama yake inaenda laki 5 na kumi na kitu. 515000
kwa nguzo moja hua inagharimu bei gani ikiwa umeshafanya wiring
Kijijini kwetu waliko Wazee huko na kijiji chetu hakipo kwenye REA hivyo nililipia Tzs.177,000/= Novemba 17,2015.
Nisubiri siku 9 hizi ama niaje?
Wapi umeombwa kitu kidogo? Unatakiwa kutoa taarifa unapopata usumbufu wa aina yoyote.
Kumbuka kutoa/kupokea rushwa ni kosa kisheria.
Wapi umeombwa rushwa? Usiseme bila uthibitisho, kwa nini unatoa rushwa ili kupata huduma? Huoni kuwa unaendeza rushwa.
N
Ninao.....
Nipatie tuwafuatilie
sihitaj usumbufu teyari Shalipa.... shaporezewa Muda af usiongee dozzzz
Huitaji kusaidiwa, usilalamike kwenye social media.
Hayo ndio majungu
nimelalamikaje........ we unakatwa nini ala mfyuuuu zako.. nachangia hoja km wenzangu na ww acha kujifanya kichwa ngumu na km babako ama wewe upo huko na unaibia raia jiandae kuna.y each debe.... ukitaka nikalalamikie Wapi labda Mbona ww pambav zako na robo
Kilimanjaro Mwanga nimelipa toka July 19 hadi leo hakuna nguzo wala umeme. Wakat ni nguzo moja inahitajika
kwa jinsi hii maendeleo yatachelewa sana yani kuunganishiwa umeme hata kama ungekuwa unahitaji nini haipaswi kuchukua hata wiki. sasa miezi 3 haya ni majibu na dawa yao ni kutumbua.
hivi ingekuwa shirika binafsi wangetoa muda kama huu wenzetu wanajaribu kuhakikisha maisha yanakuwa rahisi siku hadi siku sisi bado tupo katika siku 90
nikuhakikishie tu hizo tisini ni ndogo kuna watu wanasubiri hadi mwaka kupata umeme na wamelipia vyote vinavyostahili ila rushwa ndio shida hawaji ili uwahongehonge we wakufilisi hadi watakapoa wamekula vya kutosha ndio waje ******* zao
Matusi hayasaidii, JF Sio sehemu sahihi ya kupeleka, TANESCO wanaofisi, wanamiyandao Yao ya kijamii unaweza kuckilizwa huko.
Vitu ulivyosema havina uhalisia umeshindwa kuthibitisha.
Ukizoea uongo hata vitu vidogo unashindwa kuwa mkweli
a
Huna lolote ndo wezi wenyewe nyie....... wee
Unamda gani umelipia service line? Kama haihitaji nguzo na ni mita 1-30 ni ndani ya siku 30 unakuwa umeunganishiwa.
Kama ni nguzo 2 siku 60 unakuwa umeunganishiwa umeme,
Labda umeambiwa unahitaji nguzo? Ama umelipia kiasi gani ntakusaidia kufahamu