samubagula
Member
- Jun 24, 2013
- 89
- 4
Wadau nimepgiwa sim na hawa NHIF kwahyo nilikuwa naomba kujua maswal ambayo huwa wanauliza kwnye interview naomben msaada wenu wandugu.
Wadau nimepgiwa sim na hawa NHIF kwahyo nilikuwa naomba kujua maswal ambayo huwa wanauliza kwnye interview naomben msaada wenu wandugu.
Mmhh!! Mbona hawa jamaa hawaeleweki huu ni utaratibu wa kutoka nchi gani??
Tanzania kila kitu zigzaga!!