Maria Nyedetse
JF-Expert Member
- Apr 24, 2021
- 657
- 1,485
Hello wana jukwaa,
Natumai mko poa kabisa na mnaendelea vema na mapumziko ya mwisho wa wiki.
Moja kwa moja kwenye mada, naomba wenye uzoezi na hii gari wanisaidie AUDI Q5
1.Spare parts upatikaji wake.
2. Uwezo wa kuhimili mazingira magumu [roughl roads]
3. Mifumo ya uendeshaji wa gari, he ni rafiki au iko too complicated
4. Oil consumption [someone ni 19.. cc]
Performance ya engine ya gari
5. Maneuverability, top speed, stability, comforability n.k
Naomba kuwasilisha
Natumai mko poa kabisa na mnaendelea vema na mapumziko ya mwisho wa wiki.
Moja kwa moja kwenye mada, naomba wenye uzoezi na hii gari wanisaidie AUDI Q5
1.Spare parts upatikaji wake.
2. Uwezo wa kuhimili mazingira magumu [roughl roads]
3. Mifumo ya uendeshaji wa gari, he ni rafiki au iko too complicated
4. Oil consumption [someone ni 19.. cc]
Performance ya engine ya gari
5. Maneuverability, top speed, stability, comforability n.k
Naomba kuwasilisha