Naomba kujuzwa kuhusu biashara ya Marashi

Yule girl

Member
Oct 5, 2020
12
28
Naomba kuuliza kama naweza pata wazoefu au wafanyabiashara ya Marashi hasa Oud aina zote, Misk na mamb mengine kama hayo vipi kuhusu mtaji na soko lake likoje!?
 
Hio biashara ni nzuri ila unaitaji kujiboost. Mi Nina dawa za mvuto nauza kichupa laki moja. Na kila mwezi unaitaji vichupa 3. Utapiga biashara mpaka uitwe freemason. Karibu tukuhudumie.
 
Hio biashara ni nzuri ila unaitaji kujiboost. Mi Nina dawa za mvuto nauza kichupa laki moja. Na kila mwezi unaitaji vichupa 3. Utapiga biashara mpaka uitwe freemason. Karibu tukuhudumie.
asanteee
 
Back
Top Bottom