Zogoo da khama
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 622
- 582
Ndugu zangu naomba msaada wenu, natakiwa niende kisiwa cha Mafia kikazi hivyo niandae bajeti ya safari.
Ombi langu nataka msaada wenu kujua gharama za usafiri toka Dar hadi Mafia iwe kwa ndege au boti na gharama za malazi hasa Lodge.
Ombi langu nataka msaada wenu kujua gharama za usafiri toka Dar hadi Mafia iwe kwa ndege au boti na gharama za malazi hasa Lodge.