Tafuta tetei mkuu wachana na boxerHivi naomba kujuzwa faida za mwanaume kuvaa boxer na hasara za kutokuvaa kwa maana naona kama kero ukivaa inayotight dushe inabanwa sana korodani ndio usiseme ukivaa yakuachia space dushe inajichora mpaka sometimes aibu
Hapana umekoseateitei mkuu ni za ke tu ili ziwatekenye huko
No yaan vaa boxer peke ake bila surual...Kwahy nitembe uchi!!!!
acha kengere zielee utakapozibana na mapaja wakati unakimbia ndio utajua hujui.