man of sun
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 331
- 460
Wapendwa me napenda kufahamu je kwa mtu mwenye uhitaji wakusoma nje katika nchi zilizo wekwa hapo juu.
Je afanyeje ili aweze kupata na je huwa Kuna taratibu na hatua zipi anatakiwa kuzifwata ili aweze kufanikisha Hilo swala kwa hapa Tanzania na hizo scholarship
Je afanyeje ili aweze kupata na je huwa Kuna taratibu na hatua zipi anatakiwa kuzifwata ili aweze kufanikisha Hilo swala kwa hapa Tanzania na hizo scholarship