A teller
JF-Expert Member
- Feb 6, 2018
- 492
- 687
Wakuu habarini za jioni!
Nafikiria kuanza mchakato wa kufunga ndoa na huyu mchumba wangu wa tangu vidudu Hadi Sasa, kutokana na Mambo kadhaa ambayo yapo nje ya uwezo wetu, naomba kufahamu utaratibu wa kufunga ndoa ya serikali upoje? Nikiwa namaanisha process za kufunga ndoa ya kiserikali upoje, na Hatua zipi nifuate Hadi kukamilika kwake.
Pia faida au hasara za ndoa ya aina hii. Mawazo yenu ni muhimu wakuu
Ahsanteni!
Nafikiria kuanza mchakato wa kufunga ndoa na huyu mchumba wangu wa tangu vidudu Hadi Sasa, kutokana na Mambo kadhaa ambayo yapo nje ya uwezo wetu, naomba kufahamu utaratibu wa kufunga ndoa ya serikali upoje? Nikiwa namaanisha process za kufunga ndoa ya kiserikali upoje, na Hatua zipi nifuate Hadi kukamilika kwake.
Pia faida au hasara za ndoa ya aina hii. Mawazo yenu ni muhimu wakuu
Ahsanteni!