Thank you my brotherAthari yake ni kuwa,
Kwanza hao kuku ni laboratory products ambao wamegeuzwa mifumo yao halisi ya ukuaji na kufupishwa, hivyo basi wanategemea madawa zaidi ili waweze kukua kwa haraka,
*madhara yake ni kuwa madawa haya hubaki mwilini mwa hao kuku hasa kwenye uroto wa mifupa na hivyo mlaji akiwatumia yale madawa yatafanya kazi ile ile ya kuufanya mwili wa mlaji kunenepa haraka hivyo kusababisha obesity and overweight problems,
*pia madawa ya kukuzia hawa kuku yanaweza kuwa chanzo kikubwa cha kufupisha maidha ya mlaji hasa anapotumia kwa kiwango cha juu.
* hupunguza na kuondoa asilia ya mtu/binadam, ikumbukwe kuwa kwa asilimia kubwa miili yetu hutegemeana vyakula asilia ili kuuweka mwili kuwa shupavu wenye kinga thabiti (body genuineness) hivyo matumizi ya kupindukia ya nyama bandia (artificial/lab flesh) huuweka mwili wa mtumiaji kuwa "bandia" na usiostahimili mazingira ya kawaida ikiwemo vimelea vya magonjwa na uimara wa mifupa ya mlaji (hasa kwa walioanza wakiwa watoto wadogo)
NB. TUJITAHIDI KULA VYAKULA ASILIA ANGALAU KWA KIWANGO CHA KUTOSHA ILI KUEPUKANA NA MATATIZO LUKUKI IKIWEMO NGUVU ZA KIUME(FOR MEN)
Athari yake ni kuwa,
Kwanza hao kuku ni laboratory products ambao wamegeuzwa mifumo yao halisi ya ukuaji na kufupishwa, hivyo basi wanategemea madawa zaidi ili waweze kukua kwa haraka,
*madhara yake ni kuwa madawa haya hubaki mwilini mwa hao kuku hasa kwenye uroto wa mifupa na hivyo mlaji akiwatumia yale madawa yatafanya kazi ile ile ya kuufanya mwili wa mlaji kunenepa haraka hivyo kusababisha obesity and overweight problems,
*pia madawa ya kukuzia hawa kuku yanaweza kuwa chanzo kikubwa cha kufupisha maidha ya mlaji hasa anapotumia kwa kiwango cha juu.
* hupunguza na kuondoa asilia ya mtu/binadam, ikumbukwe kuwa kwa asilimia kubwa miili yetu hutegemeana vyakula asilia ili kuuweka mwili kuwa shupavu wenye kinga thabiti (body genuineness) hivyo matumizi ya kupindukia ya nyama bandia (artificial/lab flesh) huuweka mwili wa mtumiaji kuwa "bandia" na usiostahimili mazingira ya kawaida ikiwemo vimelea vya magonjwa na uimara wa mifupa ya mlaji (hasa kwa walioanza wakiwa watoto wadogo)
NB. TUJITAHIDI KULA VYAKULA ASILIA ANGALAU KWA KIWANGO CHA KUTOSHA ILI KUEPUKANA NA MATATIZO LUKUKI IKIWEMO NGUVU ZA KIUME(FOR MEN)
Wailize TFDA ( Mamlaka ya Chakula na Dawa) wao pekee nchini ndio wenye mashine za kupimia vyakula na dawa kujua ubora na madhara yake.Vyuo vkuu na baadhi ya maeneo watu hula sana hvi vyakula je vinaiitajika sana mwilini na je vinaathari gana wana JF???