feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,805
- 12,669
Habari ya time hii wakuu,
Nimekuja kuuliza kwa mwenye kuelewa namna ya kufaidika na hizi point za Halotel ,jinsi ya kuzitumia. Maana Kila niliweka vocha huwa wananiletea sms ya kuonesha nimepewa point na kiasi Cha point nilichonacho.
Bado sijakupa matumizi yake je ni yanalingana kama ya Vodacom? Na kama ndo hivyo nazipataje nimejaribu nimeshindwa na kabla sijapiga kwao nimeona sio mbaya nikauliza wadau humu.
Mfano wa sms
Umepokea pointi 100 kwa kuweka vocha TSH. 1000. Una jumla ya pointi 4690. Fungua Super APP, Piga *148*66# kuvuna faida au tembelea tovuti MyHalo kupata taarifa zaidi. Asante!
Nimekuja kuuliza kwa mwenye kuelewa namna ya kufaidika na hizi point za Halotel ,jinsi ya kuzitumia. Maana Kila niliweka vocha huwa wananiletea sms ya kuonesha nimepewa point na kiasi Cha point nilichonacho.
Bado sijakupa matumizi yake je ni yanalingana kama ya Vodacom? Na kama ndo hivyo nazipataje nimejaribu nimeshindwa na kabla sijapiga kwao nimeona sio mbaya nikauliza wadau humu.
Mfano wa sms
Umepokea pointi 100 kwa kuweka vocha TSH. 1000. Una jumla ya pointi 4690. Fungua Super APP, Piga *148*66# kuvuna faida au tembelea tovuti MyHalo kupata taarifa zaidi. Asante!