Ni vipi mapenzi sio pombe, lakini yanalewesha? Sio kidonda lakini yanatonesha? Sio maradhi lakini yanauwa? Sio harusi lakini yanafurahisha? Sio fimbo lakini yanaumiza? Jee waungwana mapenzi nini?
Mapenzi ni
Mapenzi ni kizungu zungu!
Ni feeling za ndani za mtu juu ya mwingine zenye kuleta upendo na raha au maumivu na majonsi (depending on the situation) kwa mhusika!:A S embarassed:
Ni vipi mapenzi sio pombe, lakini yanalewesha? Sio kidonda lakini yanatonesha? Sio maradhi lakini yanauwa? Sio harusi lakini yanafurahisha? Sio fimbo lakini yanaumiza? Jee waungwana mapenzi nini?