Naomba historia ya makao makuu kuhamishiwa Dodoma isipotoshwe!

Mag3

Platinum Member
May 31, 2008
13,064
22,757



Kwa ufahamisho, Dodoma ulitangazwa rasmi kuwa mji mkuu wa Tanzania na rais mwanzilishi Julius Nyerere mwaka 1973.

Uamuzi wa kuhamisha makuu makuu Dodoma ulichukuliwa na Halmashauri ya TANU chini ya Mwenyekiti wake Baba wa Taifa.

Baada ya hapo Mwalimu Nyerere alihamia Dodoma na kuishi huko kwa siku kadhaa akitekeleza majukumu yake akiwa huko.

Pamoja na mpango wa kuhamia Dodoma kutakiwa kukamilika ndani ya miaka mitano sababu za kutofanikisha zilikuwa nyingi...

Kumbukeni pia kwamba Chama cha Mapinduzi, CCM, ilikuwa haijazaliwa...
 
Katika hiyo historia wasisahau kutaja JOHN JOSEPH POMBE MEGUFURI
Fine.
Fwkfj-UWAAAIyjs.jpg
 



Kwa ufahamisho, Dodoma ulitangazwa rasmi kuwa mji mkuu wa Tanzania na rais mwanzilishi Julius Nyerere mwaka 1973.

Uamuzi wa kuhamisha makuu makuu Dodoma ulichukuliwa na Halmashauri ya TANU chini ya Mwenyekiti wake Baba wa Taifa.

Baada ya hapo Mwalimu Nyerere alihamia Dodoma na kuishi huko kwa siku kadhaa akitekeleza majukumu yake akiwa huko.

Pamoja na mpango wa kuhamia Dodoma kutakiwa kukamilika ndani ya miaka mitano sababu za kutofanikisha zilikuwa nyingi...

Kumbukeni pia kwamba Chama cha Mapinduzi, CCM, ilikuwa haijazaliwa...

 
Back
Top Bottom