Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,283
- 6,556
Nimekuwa nikimsikia kupitia vyombo vya habari kwa wiki nzima sasa akitoa misaada mbalimbali mkoani Singida. Misaada hii inagusa maeneo mbalimbali ya kijamii.
Nadhani cheo kikubwa serikalini kinanukia kwake.
Mwenye CV yake tafadhali.
Nadhani cheo kikubwa serikalini kinanukia kwake.
Mwenye CV yake tafadhali.
Last edited: