Naogopa Manati ya mzungu

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Habari zenu,

Kwenye maisha kuna mambo mengi sana ya kuogofya, ila jambo kubwa linalotisha mimi Mjanja M1 ni Manati ya Mzungu.

Glock-pistol.jpg


Kama unajijua kuwa unamiliki Manati ya Mzungu tafadhali sana nakuomba ukae mbali namimi, maana UGOMVI NAWEWE SITAKI.

SITAKI UGOMVI NA MTU ANAEMILIKI MANATI YA MZUNGU.

Uzi Tayari.

Mjanja M1 kwasasa napatikana Vienna Austria 🇦🇹
 
Acha uoga mtoto wa kiume, hiyo Mtu akikunyooshea na kukoki kabisa kabla hajafyatua sema "MAJI" au kwa kiingereza "WATER"

Hapo risasi zitageuka kuwa matone ya maji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom