LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
Shemeji mwazima taa ilikuwa ya Salum AbdalahMarijani tungo kali na sauti nzuri vinamfanya awe na ladha ya kipekee. Mbaraka alikuwa ni muhuni, nyimbo zake za shemeji shemeji huku mwazima taa na mtaa wa saba zimedhihirisha