Habari wana JF.
Mimi napenda kufahamishwa kuhusiana na hili neno SHELI.
Maranyingi huwa nasikia watu wakisema "Tukutane pale Sheli Bamaga"ama wengine kama makonda husema "Buguruni Sheli mwisho" na vinginevyo.Inamaana hivi vituo vya mafuta vyote kama BP,Oryx,OilCom na vinginevyo kwa neno moja ni SHELI?
hata waandishi wa habari maranyingi huwa nakuta kwenye magazeti wanatumia neno SHELI katika baadhi ya matukio wanayozungumzia wakati sijawahi ona mahali pa kituo cha mafuta kumeandikwa SHELI.nahitaji kuelimishwa kuhusiana na hilo.NAWAKILISHA
Mimi napenda kufahamishwa kuhusiana na hili neno SHELI.
Maranyingi huwa nasikia watu wakisema "Tukutane pale Sheli Bamaga"ama wengine kama makonda husema "Buguruni Sheli mwisho" na vinginevyo.Inamaana hivi vituo vya mafuta vyote kama BP,Oryx,OilCom na vinginevyo kwa neno moja ni SHELI?
hata waandishi wa habari maranyingi huwa nakuta kwenye magazeti wanatumia neno SHELI katika baadhi ya matukio wanayozungumzia wakati sijawahi ona mahali pa kituo cha mafuta kumeandikwa SHELI.nahitaji kuelimishwa kuhusiana na hilo.NAWAKILISHA