Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Jina hilo la CHITANDA ni jina la Watanzania wanaoishi pale LINDI kusini mwa taifa letu.
Na huyu Mary Chitanda wa Arusha, kwa CCM ameonekana Mtanzania mmoja hivi mwenye uwezo wa ajabu kiutendaji hata akapewa:
1. Ukatibu Mkuu CCM Mkoa wa Arusha,
2. Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Tanga,
3. Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM Dodoma,
4. 'Mjumbe wa Kukodi' kuchagua Meya Mkoa wa Arusha,
5. Na sasa Makamba anatafuta kutuaminisha kwamba baada ya BALAA LA ARUSHA huyu mama sasa ni Diwani pia Arusha.
Jamani Watanzania na Wana-JF sasa unganisheni hizo dots ...
Na huyu Mary Chitanda wa Arusha, kwa CCM ameonekana Mtanzania mmoja hivi mwenye uwezo wa ajabu kiutendaji hata akapewa:
1. Ukatibu Mkuu CCM Mkoa wa Arusha,
2. Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Tanga,
3. Mjumbe wa Halmashauri Kuu CCM Dodoma,
4. 'Mjumbe wa Kukodi' kuchagua Meya Mkoa wa Arusha,
5. Na sasa Makamba anatafuta kutuaminisha kwamba baada ya BALAA LA ARUSHA huyu mama sasa ni Diwani pia Arusha.
Jamani Watanzania na Wana-JF sasa unganisheni hizo dots ...