Yaani Manchester United walivyofungwa goli la sita nikajua sasa basi!
Kwaniaba ya wafanyakazi wenzangu wa famasi na wodini nawasalimuni wote
Baada ya kusema hayo, Narudi zangu Chamazi kuangalia mechi ya Toto Africa na Coastal Union.Habari mpya ni kuwa zile raba mtoni nilizonunuliwa na baba mkwe wakati wa pasaka zimenibana, naziuza.
Huyu hapa wa kwanza.