hapo kwenye namba mbili mweke tu Rejao1.kongosho
2. nanii nimemsahau
Amwit52Today 07:58#1
MemberArray
Join Date : 18th December 2011
Posts : 28
Rep Power : 306
Nani unampenda zaidi hapa JF?
Na kitu gani kimekuvutia kwake? Mi bado mgeni sijafahamu member wa humu vizuri nataka niwafahamu wenye sifa mbalimbali. Kwa sasa najipenda mwenyewe.
Yaani wewe umeingia siku moja na umeshatuma Post 28? Ahhh Unacheza wewe nini na hii Jamii forums? Una haki ujipendea Mwenyewe kwa Post zako 28 kwa siku moja. Miafrika bwana ndivyo ilivyo.
Umechanganya ID hapa! Kumbuka hapa unatumia MSHUNGA NATIA na siyo ANGEL MSOFFEnajipenda mwenyewe ANGEL MSOFFE
Mwita25=Amwit52
siku njema