Izack Mwanahapa
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 497
- 236
Ndugu wadau kwa muda mrefu viongozi wetu wmekuwa wakitumia neno "Mtanzania wa kawaida" kila walalamikiapo jambo lolote la hovyo linapotokea hapa Tanzania Mifano: Mfumuko wa bei wanaseama anayeathirika ni mtanzania wa kawaida, ongezeko la bei ya umeme muathirika ni mtanzania wa kawaida, mgomo wa madactari muathirika ni mtanzania wa kawaida.
Mtanzania wa kawaida ni yupi na asiye wakawaida ni yupi? Nini kinawatofautisha? Kwanini hawa viongozi wetu wanajitoa katika kundi la watanzania wa kawaida?
Mtanzania wa kawaida ni yupi na asiye wakawaida ni yupi? Nini kinawatofautisha? Kwanini hawa viongozi wetu wanajitoa katika kundi la watanzania wa kawaida?