Nani ni mlinzi wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Sep 19, 2012
3,106
3,523
Habari wanajamvi?

Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja ya msingi.

Kwa muda sasa KATIBA YA JMT imekuwa ikivunjwa na wana Siasa kadiri wanavyo penda bila kujali viapo vyao.

Swali ninalo jiuliza ni kwamba ni nani hasa ni mlizi wa KATIBA yetu?

Binafsi nimeshuhudia Rais Magufuli akivunja KATIBA mara kadhaa Kwa makusudi kabisa wakati aliapa kuilinda, kuihifadhi na kuitetea Kwa moyo wake wake wote.

Juzi tena nimeshuhudia Rais Samia Suluhu Hassan akivunja Kwa makusudi au Kwa kutokujua, sasa najiuliza mwenye dhamana ya kuilinda, kuihifadhi na kuitetea KATIBA yetu ni nani.

Kitendo Cha Rais Samia kukabidhi mamlaka aliyo pewa na KATIBA yetu Kwa waarabu ni kuvunja KATIBA

Kule kwenye Mkataba wa bandari Kuna kipengele kinasema; ikiwa huko mbeleni, TANZANIA itahitaji kuwekeza Nchi kavu, majini, au angani sharti wao DP world waambiwe kwanza ! Maana yake ni kwamba sehemu ya mamlaka ya Rais tumewakabidhi wao ili wawe wa amuzi wa mwisho wa mambo yetu.

Huko serikalini sioni mtu Wala taasisi wa kukabidhiwa jukumu hili nyeti. Ikiwa Rais ameshindwa , nani ataweza?

Bungee haliwezi kabisa maana ni bendera fuata upepo. Hiki chombo kimejuweka mfukoni mwa Rais.

Tutafakari Kwa pamoja, nani ailinde KATIBA yetu? Vinginevyo Hawa wanasiasa watatuchezea milele.
 
Habari wanajamvi?

Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja ya msingi.

Kwa muda sasa KATIBA YA JMT imekuwa ikivunjwa na wana Siasa kadiri wanavyo penda bila kujali viapo vyao.

Swali ninalo jiuliza ni kwamba ni nani hasa ni mlizi wa KATIBA yetu?

Binafsi nimeshuhudia Rais Magufuli akivunja KATIBA mara kadhaa Kwa makusudi kabisa wakati aliapa kuilinda, kuihifadhi na kuitetea Kwa moyo wake wake wote.

Juzi tena nimeshuhudia Rais Samia Suluhu Hassan akivunja Kwa makusudi au Kwa kutokujua, sasa najiuliza mwenye dhamana ya kuilinda, kuihifadhi na kuitetea KATIBA yetu ni nani.

Kitendo Cha Rais Samia kukabidhi mamlaka aliyo pewa na KATIBA yetu Kwa waarabu ni kuvunja KATIBA

Kule kwenye Mkataba wa bandari Kuna kipengele kinasema; ikiwa huko mbeleni, TANZANIA itahitaji kuwekeza Nchi kavu, majini, au angani sharti wao DP world waambiwe kwanza ! Maana yake ni kwamba sehemu ya mamlaka ya Rais tumewakabidhi wao ili wawe wa amuzi wa mwisho wa mambo yetu.

Huko serikalini sioni mtu Wala taasisi wa kukabidhiwa jukumu hili nyeti. Ikiwa Rais ameshindwa , nani ataweza?

Bungee haliwezi kabisa maana ni bendera fuata upepo. Hiki chombo kimejuweka mfukoni mwa Rais.

Tutafakari Kwa pamoja, nani ailinde KATIBA yetu? Vinginevyo Hawa wanasiasa watatuchezea milele.
Bahati mbaya Tanzania hatuna mlinzi wa katiba na usilitegemee Bunge wala Mahakama kote ni mbambamba.
 
3/17/2120 katiba ilikuwa inavunjwa kwa mara nyingine isipokuwa siku hiyo ilikuwa inavunjwa na watu wao sio marais wa nchi hii,walinzi wa katiba wakaona ni haramu sana as if ndio inavunjwa mara ya kwanza.wakazuia amri na vitisho juu”ISIVUNJWE”.

kwa sasa yanayoendelea hata wao wenyewe wanajilaumu.
 
Ndio maana tunataka katiba mpya tuweze kuwajibishana kwa vifungu Bora.
 
Habari wanajamvi?

Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja ya msingi.

Kwa muda sasa KATIBA YA JMT imekuwa ikivunjwa na wana Siasa kadiri wanavyo penda bila kujali viapo vyao.

Swali ninalo jiuliza ni kwamba ni nani hasa ni mlizi wa KATIBA yetu?

Binafsi nimeshuhudia Rais Magufuli akivunja KATIBA mara kadhaa Kwa makusudi kabisa wakati aliapa kuilinda, kuihifadhi na kuitetea Kwa moyo wake wake wote.

Juzi tena nimeshuhudia Rais Samia Suluhu Hassan akivunja Kwa makusudi au Kwa kutokujua, sasa najiuliza mwenye dhamana ya kuilinda, kuihifadhi na kuitetea KATIBA yetu ni nani.

Kitendo Cha Rais Samia kukabidhi mamlaka aliyo pewa na KATIBA yetu Kwa waarabu ni kuvunja KATIBA

Kule kwenye Mkataba wa bandari Kuna kipengele kinasema; ikiwa huko mbeleni, TANZANIA itahitaji kuwekeza Nchi kavu, majini, au angani sharti wao DP world waambiwe kwanza ! Maana yake ni kwamba sehemu ya mamlaka ya Rais tumewakabidhi wao ili wawe wa amuzi wa mwisho wa mambo yetu.

Huko serikalini sioni mtu Wala taasisi wa kukabidhiwa jukumu hili nyeti. Ikiwa Rais ameshindwa , nani ataweza?

Bungee haliwezi kabisa maana ni bendera fuata upepo. Hiki chombo kimejuweka mfukoni mwa Rais.

Tutafakari Kwa pamoja, nani ailinde KATIBA yetu? Vinginevyo Hawa wanasiasa watatuchezea milele.
Hakuna wa kuilinda katiba!! Kiongoz anakua juu ya katiba unategemea nn hapo.
 
Habari wanajamvi?

Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja ya msingi.

Kwa muda sasa KATIBA YA JMT imekuwa ikivunjwa na wana Siasa kadiri wanavyo penda bila kujali viapo vyao.

Swali ninalo jiuliza ni kwamba ni nani hasa ni mlizi wa KATIBA yetu?

Binafsi nimeshuhudia Rais Magufuli akivunja KATIBA mara kadhaa Kwa makusudi kabisa wakati aliapa kuilinda, kuihifadhi na kuitetea Kwa moyo wake wake wote.

Juzi tena nimeshuhudia Rais Samia Suluhu Hassan akivunja Kwa makusudi au Kwa kutokujua, sasa najiuliza mwenye dhamana ya kuilinda, kuihifadhi na kuitetea KATIBA yetu ni nani.

Kitendo Cha Rais Samia kukabidhi mamlaka aliyo pewa na KATIBA yetu Kwa waarabu ni kuvunja KATIBA

Kule kwenye Mkataba wa bandari Kuna kipengele kinasema; ikiwa huko mbeleni, TANZANIA itahitaji kuwekeza Nchi kavu, majini, au angani sharti wao DP world waambiwe kwanza ! Maana yake ni kwamba sehemu ya mamlaka ya Rais tumewakabidhi wao ili wawe wa amuzi wa mwisho wa mambo yetu.

Huko serikalini sioni mtu Wala taasisi wa kukabidhiwa jukumu hili nyeti. Ikiwa Rais ameshindwa , nani ataweza?

Bungee haliwezi kabisa maana ni bendera fuata upepo. Hiki chombo kimejuweka mfukoni mwa Rais.

Tutafakari Kwa pamoja, nani ailinde KATIBA yetu? Vinginevyo Hawa wanasiasa watatuchezea milele.
Mlinzi wa KATIBA YETU alikuwa HAYATI BABA wa TAIFA TU.
Baada ya yeye Hakuna Kiongozi yeyote aliyejitokeza KUILINDA KATIBA yetu
VIONGOZI walioapa kuilinda na kuitetea ndio hao Wanaoivunja kwa Makusudi
Leo BUNGE lina WABUNGE FAKE 19 HAWANA CHAMA lakini WAPO BUNGENI Kinyume na TAKWA la KATIBA wanilipwa POSHO na MISHAHARA ambayo ni KODI za MASIKINI
Viongozi tuliowategemea kuilinda KATIBA ndio hao WANAWALINDA
JamiiForums-77849611.jpg
 
Nani Hasa mlinzi wa KATIBA yetu?

Wote wanaoapa Kwa kuishika Katiba, wanaoapa " Nitailinda na kuitetea Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!!!!

Jibu ni Rahisi, MLINZI no 1 ni anayeapa Kwa kutumia Katiba!!!

Nadhani Swali liwe: Nani Hasa ni MLINZI wa WALINZI wa KATIBA yetu?
 
Habari wanajamvi?

Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja ya msingi.

Kwa muda sasa KATIBA YA JMT imekuwa ikivunjwa na wana Siasa kadiri wanavyo penda bila kujali viapo vyao.

Swali ninalo jiuliza ni kwamba ni nani hasa ni mlizi wa KATIBA yetu?

Binafsi nimeshuhudia Rais Magufuli akivunja KATIBA mara kadhaa Kwa makusudi kabisa wakati aliapa kuilinda, kuihifadhi na kuitetea Kwa moyo wake wake wote.

Juzi tena nimeshuhudia Rais Samia Suluhu Hassan akivunja Kwa makusudi au Kwa kutokujua, sasa najiuliza mwenye dhamana ya kuilinda, kuihifadhi na kuitetea KATIBA yetu ni nani.

Kitendo Cha Rais Samia kukabidhi mamlaka aliyo pewa na KATIBA yetu Kwa waarabu ni kuvunja KATIBA

Kule kwenye Mkataba wa bandari Kuna kipengele kinasema; ikiwa huko mbeleni, TANZANIA itahitaji kuwekeza Nchi kavu, majini, au angani sharti wao DP world waambiwe kwanza ! Maana yake ni kwamba sehemu ya mamlaka ya Rais tumewakabidhi wao ili wawe wa amuzi wa mwisho wa mambo yetu.

Huko serikalini sioni mtu Wala taasisi wa kukabidhiwa jukumu hili nyeti. Ikiwa Rais ameshindwa , nani ataweza?

Bungee haliwezi kabisa maana ni bendera fuata upepo. Hiki chombo kimejuweka mfukoni mwa Rais.

Tutafakari Kwa pamoja, nani ailinde KATIBA yetu? Vinginevyo Hawa wanasiasa watatuchezea milele.
Kwa mtazamo wa haraka haraka utaona kama Katiba ilivunjwa na uliowataja ,
Lakini ukienda kuisoma vizuri katiba neno kwa neno nukta kwa nukta bila kuwa na mihemko utagundua kwamba Katiba hii imempa madaraka makubwa Mkuu wa Nchi kuliko unavyofikiria !!

Kwahiyo kusema eti waliivunja Katiba ni kutowatendea haki !
Ila swali lako hata mimi huwa najiuliza !!
 
Habari wanajamvi?

Niende Moja Kwa Moja kwenye hoja ya msingi.

Kwa muda sasa KATIBA YA JMT imekuwa ikivunjwa na wana Siasa kadiri wanavyo penda bila kujali viapo vyao.

Swali ninalo jiuliza ni kwamba ni nani hasa ni mlizi wa KATIBA yetu?

Binafsi nimeshuhudia Rais Magufuli akivunja KATIBA mara kadhaa Kwa makusudi kabisa wakati aliapa kuilinda, kuihifadhi na kuitetea Kwa moyo wake wake wote.

Juzi tena nimeshuhudia Rais Samia Suluhu Hassan akivunja Kwa makusudi au Kwa kutokujua, sasa najiuliza mwenye dhamana ya kuilinda, kuihifadhi na kuitetea KATIBA yetu ni nani.

Kitendo Cha Rais Samia kukabidhi mamlaka aliyo pewa na KATIBA yetu Kwa waarabu ni kuvunja KATIBA

Kule kwenye Mkataba wa bandari Kuna kipengele kinasema; ikiwa huko mbeleni, TANZANIA itahitaji kuwekeza Nchi kavu, majini, au angani sharti wao DP world waambiwe kwanza ! Maana yake ni kwamba sehemu ya mamlaka ya Rais tumewakabidhi wao ili wawe wa amuzi wa mwisho wa mambo yetu.

Huko serikalini sioni mtu Wala taasisi wa kukabidhiwa jukumu hili nyeti. Ikiwa Rais ameshindwa , nani ataweza?

Bungee haliwezi kabisa maana ni bendera fuata upepo. Hiki chombo kimejuweka mfukoni mwa Rais.

Tutafakari Kwa pamoja, nani ailinde KATIBA yetu? Vinginevyo Hawa wanasiasa watatuchezea milele.
Walinzi ni wabunge lakini wawe wanajielewa
 
NCHI YETU HAINA UONGOZI.
HAINA WATU WANAOJIELEWA.
HAINA MIFUMO IMARA YA KITAASISI.

IMEJAA.
Majizi
Mafisadi.
Wala rushwa.

TUNAENDA KWA NEEMA YA MUNGU.

TANZANIA TUTAKUWA MASIKINI MILELE.
 
Back
Top Bottom