Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Padri mmoja alipoteza jogoo wake. Siku ya jumapili kanisani baada ya mahubiri akauliza, nan ana jogoo? wanaume wote wakasimama. Akasema hapana nasema nani kamuona jogoo? Wanaweke wote wakasimama, padri akasema namaanisha nan kamuona jogoo wangu? Masister wote wakasimama. Hv unaona nan ni virgin kanisa zima?