Guys Guys calm down....
Mmiliki halali nipo hapa, vipi kuna maoni, ushauri au neno la nyongeza ili kuboresha media yetu.
hahaha.. na wewe tycoon kumbe..Guys Guys calm down....
Mmiliki halali nipo hapa, vipi kuna maoni, ushauri au neno la nyongeza ili kuboresha media yetu.
Lol, hilo limepita ili kuboresha huduma zetu na kufanya media yetu itizamwe na watu wa kila rika, tunapiga nyimbo za 'dizaini' zote ili watazamaji na wasikilizaji wetu wafurahi kile wanachotaka.Yes tunataka mtupigie muziki wetu wa asili wa dansi....bongo fleva inatuboa kishenzi sie wenye akili timamu.
Naaam,hahaha.. na wewe tycoon kumbe..
Lol, hilo limepita ili kuboresha huduma zetu na kufanya media yetu itizamwe na watu wa kila rika, tunapiga nyimbo za 'dizaini' zote ili watazamaji na wasikilizaji wetu wafurahi kile wanachotaka.Naaam,
Hahahaha