Mmmh sina hamu niliosikia kuhusu umiliki na uhusiano walionao na familia ya .........na yaliomkuta afisa uhamiaji mmoja mkubwa mmmmh nyie acheni nikae kimya.
Funguka mjomba
Afisa uhamiaji aliuawa katika mazingira ya kutatanisha na mwili ukakutwa unaelea kwenye swimming pool za dar zoo kuna uzi humu search via google link utapata maelezo zaidi.