simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Tanzania sauti ya RPC ni sauti ya Mungu. Tanzania is becoming a police state.
hakuna ubishi askari wameuwawa kinyama na askari wameua raia,cha msingi ni kusubiri tume ije ichunguze na kutoa mapendekezo na maoni kuhusiana na jinsi ya kushughulikia matukio ya aina hiyo yasitokee tena.pia katika matukio ya namna hiyo wapo baadhi ya watu wameona tukio zima na wapo tayari kutoa ushahidi.swala la nani anauwezo wa kuwasiliana na marehemu siyo issue,mbona usia wa marehemu unakubalika akisha kufa kama ushahidi sembuse madai ya mtu kutolewa kisu?.kama tunaweza kukubali usiwa wa marehemu kwanini tusikubali mambo mengine?.kama unaushahidi peleka ktk tume iliyoundwa usaidie,kama huwezi kufikisha ujumbe/ushahidi wako basi ukubaliane na majibu ya tume.
kuna uzi mwengine hapa mwanzilishi anasema aliepigwa risasi kapigwa wakati yuko njiani kupelekwa kituoni.polisi nao wakati flani ni madhalimu lakini baadhi ya wananchi nao ni wapenda shari.mimi siwezi kuamini hata mmoja mpaka nipate taarifa zilizotafitiwa ki taalamhatuwezi kuupata ukweli kama kila mtu atakuja na uchunguzi kama wa kwako: Polisi maelezo yao mistari miwili na ya wananchi mengi kama ulivyofanya. Unatoa hoja na mwisho una conlude - polisi ni waongo..! Nadhani tutaupata ukweli pakiwepo na kitu huru cha kuchunguza na kuelezea tukio hili bila ya kuegemea upande wowote.
Siku zote polisi ni waongo na wamefuzu katika kutunga na kusema uongo. Na bosi wao ndiye baba wa huo uongo.
Mwananchi akichomoa kisu ndo anapigwa risasi ya kichwa?
Nadhani huko kwenye vyuo vyao vya polisi hawafundishwi mafunzo ya ukakamavu, bali ni siasa za kuilinda ccm kwakuwa wanajua hata wakiua raia hakuna mtu wa kuwachukulia hatua.
kuna uzi mwengine hapa mwanzilishi anasema aliepigwa risasi kapigwa wakati yuko njiani kupelekwa kituoni.polisi nao wakati flani ni madhalimu lakini baadhi ya wananchi nao ni wapenda shari.mimi siwezi kuamini hata mmoja mpaka nipate taarifa zilizotafitiwa ki taalam
wewe ndo walewale wakiona kitu chochote kizuri au cha thamani wanasema cha ridhiwani na huwa hawatafiti wala hawaungi mkono utafiti.kuongea kwa emotion au kufanya mambo kwa emotion si sahihi.unaweza ukadhani kitu flani kipo halafu ukafanya maamuzi magumu halafu baada ya muda unagundua kumbe katika uhalisia kitu husika hakikuwepo na kinyume chake.gamba kubwa wewe! Subiri taarifa ya watalaamu wa dr. Nchimbi ndipo uamini
Serikali hii haiwezi kuwa upande wa Raia. Je gereji hupelekwa kitu kizima au kibovu?
Kweli ni kiboko hawa policcm! Kwenye gazeti la Mwananchi j2 walisema walipompigia RPC ili kuthibitisha alisema yupo njiani kuelekea kwenye tukio akipewa habari kamili ataufahamisha umma nini kilitokea. Sasa hapa ndiyo napata shaka kwamba eti ameambiwa kuwa marehemu fundi alikataa kupeleka pkpk kituoni na akawatolea policcm kisu! Kweli jamani, polisi 2 wenye bunduki watishiwe kwa kisu( au panga)? tehetehe! IGP nafahamu umahiri wako lakini kwa ushemeji wako na JK UMEKUWA DHAIFU SANA!Huyu RPC ni kiboko, amejuaje hayo ya kutoleana visu na kupigana risasi wakati wahusika wote wawili wamefariki?
Au yeye ni kigagula na anaweza kuwasiliana na marehemu? mwaka huu tu unakwisha huku tukiendelea kushuhudia killa aina ya sinema kutoka policcm.
kuna uzi mwengine hapa mwanzilishi anasema aliepigwa risasi kapigwa wakati yuko njiani kupelekwa kituoni.polisi nao wakati flani ni madhalimu lakini baadhi ya wananchi nao ni wapenda shari.mimi siwezi kuamini hata mmoja mpaka nipate taarifa zilizotafitiwa ki taalam