Nani kumrithi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Mwamunyange?

Daaa asee sijui nani mwenye uwezo wa kubeba mkoba wa Mwamunyange
Mkuu jeshini mbona wapo wengi sana, usiwe na mawazo kama yale ya miaka ile ambayo tuliaminishwa akiondoka nyerere sijui nani mwenye uwezo wa kutawala
 
kuna jirani yangu huwa anavaa kitu kama lisaa mkononi anaweza kupanda awe kanali.
ahahahah kutoka hilo lisaa lake akipanda Sanaa ataenda officer cadet Monduli apate kanyota kamoja.......baada miezi 6 ndio atapewa nyota ya pili.....baada hapo ni paper na courses ndio atapanda
 
ahahahah kutoka hilo lisaa lake akipanda Sanaa ataenda officer cadet Monduli apate kanyota kamoja.......baada miezi 6 ndio atapewa nyota ya pili.....baada hapo ni paper na courses ndio atapanda
Oy hivi jeshi la wokovu ndo lipi ilo??
Naonaga pale kilwa road jirani na jitegemee kuna jeshi ka wokovu lakini sielewi kazi zake ni nn hasa...
Mwanzoni nilikua najua jeshi la wokovu ni wale walokole wanaojiita prayer warriors eti wanapambanaga na Jeshi la Mpinga Kristo....haha si unajua porojo za dini tena
 
Naona wakuu wengi waliopita ni Upande wa kanisa sasa ingependeza zaidi awamu hii aangalie pia kutoka Msikitini au Jeshini hakuna waislam wenye vyeo vikubwa??
Ili iweje sasa. Kwa mfano akiwa mkuu muislamu ama mpagani inasaidia nini taifa?
Religions are totally nonsenses, trust me.
Sisi walipa kodi tunataka mkuu wa maana hata akiwa mpagani hatujali mambo ya kusema lazima awe amepitia madrasa hayana tija kwa taifa..
Ukitaka ivo nenda Arabuni
 
Back
Top Bottom