Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Katika taarifa za leo magazetini nimeona kuwa madaktari wamefukuzwa, lakini niliposoma kwa umakini kumbe ni madaktari ambao wapo hospitalini kujifunza kwa vitendo. Na ndio hao waliofukuzwa.
Nauliza wadau kati ya Daktari na intern ni nani hasa aliyetakiwa kufukuzwa?
Kwa sababu interns hawana ruhusa ya kutibu isipokuwa kwa idhini ya supervisor au daktari.
Na kama ndio ivyo kama boss wako kagoma wewe msaidizi wake utafanya nini na huna mamlaka ya kutoa huduma?
Mie nadhani walio stahiri kufutwa kazi ni madaktari kamili sio hawa wanaofanya kazi kwa mgongo wa daktari aliyemwambia sifanyi kazi.
Nauliza wadau kati ya Daktari na intern ni nani hasa aliyetakiwa kufukuzwa?
Kwa sababu interns hawana ruhusa ya kutibu isipokuwa kwa idhini ya supervisor au daktari.
Na kama ndio ivyo kama boss wako kagoma wewe msaidizi wake utafanya nini na huna mamlaka ya kutoa huduma?
Mie nadhani walio stahiri kufutwa kazi ni madaktari kamili sio hawa wanaofanya kazi kwa mgongo wa daktari aliyemwambia sifanyi kazi.