chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,003
- 20,662
Hapa ndipo waandishi wa habari za uchunguzi wanatakiwa kuingia "chimbo". Wakawasake hao wafanyabiashara wa nchi jirani wawahoji.
Lakini, kinachoonekana wafanyabiashara wa kariakoo ndio wameiua kariakoo yao. TRA hawawezi kuhangaika na aliyelipa Kodi halali, wanashughulika na wakwepa Kodi.
Mfanyabiashara kaja kununua mzigo wa bilioni, mfanyabiashara wa kariakoo anamshawishi amuandikie risiti ya milioni 100 au 200, anaanza safari, TRA hawa hapa, wanamuhoji, anakiri thamani ya mzigo, wanaukamata, mtaji wa bilioni unakufa, unatarajia atarudi tena kariakoo?
Wafanyabiashara wa kariakoo, boriti ni kubwa sana kwenye mboni zenu, anzieni mlipojikwaa. Hao watu wa Congo, Rwanda, Burundi, na kwingine mmewapoteza kwa ulaghai wenu.
Uaminifu zero.
Lakini, kinachoonekana wafanyabiashara wa kariakoo ndio wameiua kariakoo yao. TRA hawawezi kuhangaika na aliyelipa Kodi halali, wanashughulika na wakwepa Kodi.
Mfanyabiashara kaja kununua mzigo wa bilioni, mfanyabiashara wa kariakoo anamshawishi amuandikie risiti ya milioni 100 au 200, anaanza safari, TRA hawa hapa, wanamuhoji, anakiri thamani ya mzigo, wanaukamata, mtaji wa bilioni unakufa, unatarajia atarudi tena kariakoo?
Wafanyabiashara wa kariakoo, boriti ni kubwa sana kwenye mboni zenu, anzieni mlipojikwaa. Hao watu wa Congo, Rwanda, Burundi, na kwingine mmewapoteza kwa ulaghai wenu.
Uaminifu zero.