hengo
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 402
- 50
Heshima kwenu wakuu,
Sikupata bahati ya kufatilia bunge kikamilifu kwa sababu mbalimbali zikiwemo mgao wa umeme na mihangaiko ya kutafuta riziki. Kwa waliobahatika kufatili naomba mtupe uwezo na umahiri wa kuongoza bunge kati ya Anne Makinda na Job Ndugai.
Je, kama mwanamke Anne Makinda anaweza ukilinganisha na Ndugai pia Wanaume waliowahi kushika wadhifa huo wa spika wa Bunge?
Sikupata bahati ya kufatilia bunge kikamilifu kwa sababu mbalimbali zikiwemo mgao wa umeme na mihangaiko ya kutafuta riziki. Kwa waliobahatika kufatili naomba mtupe uwezo na umahiri wa kuongoza bunge kati ya Anne Makinda na Job Ndugai.
Je, kama mwanamke Anne Makinda anaweza ukilinganisha na Ndugai pia Wanaume waliowahi kushika wadhifa huo wa spika wa Bunge?