kumbe ulevi uchizi enhee?
Mlevi #2 ndo chizi kabixa.
Hahahahaaaa mi napita tu mara hiiMtoa mada ndio chizi.
Vice-versa is true!
Nimekupata chemistry teacher.
Hata chizi ana maisha ya furaha na kujiamini kwa sababu anaamini wale wenye akili nzuri ndo machizi,so endelea kujiachia hapo jalalani,LIFE IS GOOD!