Nani au kipi cha kuheshimiwa kwanza kati ya kazi na bosi

Limbukeni

Senior Member
Feb 27, 2009
117
1
Wafanyakazi wamejikuta katika wakati mgumu wanapolazimika kufanya kazi kinyume cha maadili kwa kuheshimu mabosi wao, hali hii imepelekea kufilisika au kutajirika kwa makampuni mengi .je wadau manasemajee kuhusu hili nani anatakiwa aheshimiwe au kipi kati ya maadili ya kazi na bosi.
 
Wafanyakazi wamejikuta katika wakati mgumu wanapolazimika kufanya kazi kinyume cha maadili kwa kuheshimu mabosi wao, hali hii imepelekea kufilisika au kutajirika kwa makampuni mengi .je wadau manasemajee kuhusu hili nani anatakiwa aheshimiwe au kipi kati ya maadili ya kazi na bosi.

Mkuu kama boss yupo kwa maslahi ya kampuni, bila shaka atakuwa anawaongoza watu wote kuelekea kwenye malengo na mtazamo wa kampuni. Kwa hiyo kwa kumheshimu boss, utakuwa unaheshimu kazi yako. La hasha, kama unahisi boss ana maslahi binafsi na anatafuta kutumikisha watu kujinufahisha, basi huyo ni fisadi na mtu wa mataifa ... hakuna haja ya kumheshimu sana sana ni muhimu kumrepoti kwa vyombo husika awajibishwe.
 
Mi nafikiri umeuliza swali hili....incase kunatokea uchague kati ya vitu hivyo viwili hapo juu....yaani someone yupo in such a situation and has to choose one!

In short kwangu mimi, kama upo very confident na ujuzi wa kazi, uzoefu, elimu, utendaji kazi....better choose to respect job kwa sababu...kazi hiyo ndiyo itakupa ulaji katika maisha yako yote yaliyobakia.....boss atapita....kazi kamwe haipiti ila unaweza badilisha mazingira tu...kazi ikabakia ileile tu!
 
Wafanyakazi wamejikuta katika wakati mgumu wanapolazimika kufanya kazi kinyume cha maadili kwa kuheshimu mabosi wao, hali hii imepelekea kufilisika au kutajirika kwa makampuni mengi .je wadau manasemajee kuhusu hili nani anatakiwa aheshimiwe au kipi kati ya maadili ya kazi na bosi.


Mkuu,
Kwa mara ya kwanza nimepata shida sana kuelewa mada.Kabla sijashiriki mjadala, naomba unifafanulie yafuatayo:
1. Maadili gani unayoyazungumzia hapa?
2. Makampuni hayo mengi yaliyotajirika kwa kufanya kazi kinyume na maadili ni yapi?
Asante
 
Mi nafikiri umeuliza swali hili....incase kunatokea uchague kati ya vitu hivyo viwili hapo juu....yaani someone yupo in such a situation and has to choose one!

In short kwangu mimi, kama upo very confident na ujuzi wa kazi, uzoefu, elimu, utendaji kazi....better choose to respect job kwa sababu...kazi hiyo ndiyo itakupa ulaji katika maisha yako yote yaliyobakia.....boss atapita....kazi kamwe haipiti ila unaweza badilisha mazingira tu...kazi ikabakia ileile tu!
that wa the best way the question should have been thank you very much in deed. Meet soon in the free tz to practise this fundamental principles so change can come in dodoma. May God bless Tz
 
Mkuu,
Kwa mara ya kwanza nimepata shida sana kuelewa mada.Kabla sijashiriki mjadala, naomba unifafanulie yafuatayo:
1. Maadili gani unayoyazungumzia hapa?
2. Makampuni hayo mengi yaliyotajirika kwa kufanya kazi kinyume na maadili ni yapi?
Asante
next level kamaliza kazi naomba usome maoni yake asante sana kwa kushiriki
 
Mi nafikiri umeuliza swali hili....incase kunatokea uchague kati ya vitu hivyo viwili hapo juu....yaani someone yupo in such a situation and has to choose one!

In short kwangu mimi, kama upo very confident na ujuzi wa kazi, uzoefu, elimu, utendaji kazi....better choose to respect job kwa sababu...kazi hiyo ndiyo itakupa ulaji katika maisha yako yote yaliyobakia.....boss atapita....kazi kamwe haipiti ila unaweza badilisha mazingira tu...kazi ikabakia ileile tu!

Is not a matter of kazi, uzoefu, elimu, utendaji kazi...., but it's a matter of professionalism! That's all.if you care about your profession, then do what job want you to do!,
 
Back
Top Bottom