Limbukeni
Senior Member
- Feb 27, 2009
- 117
- 1
Wafanyakazi wamejikuta katika wakati mgumu wanapolazimika kufanya kazi kinyume cha maadili kwa kuheshimu mabosi wao, hali hii imepelekea kufilisika au kutajirika kwa makampuni mengi .je wadau manasemajee kuhusu hili nani anatakiwa aheshimiwe au kipi kati ya maadili ya kazi na bosi.