Bavaria JF-Expert Member Jun 14, 2011 53,102 53,360 Oct 4, 2012 #1 Siku zinakatika, yamebaki masaa tu. Sina kampani, nipo nipo tu. Nani anaenda anipe kampani?
KASHOROBANA JF-Expert Member Jul 30, 2011 3,241 963 Oct 4, 2012 #3 Lazima uwe na wazimu pia demokrasia ya uhuru wa kufanya ngono ovyo ovyo.
Mao ze dong JF-Expert Member Aug 28, 2012 941 1,006 Oct 4, 2012 #4 Bulldog said: Siku zinakatika, yamebaki masaa tu. Sina kampani, nipo nipo tu. Nani anaenda anipe kampani? Click to expand... waabudu mashetan wataenda utakutana nao huko mt 7:13-14
Bulldog said: Siku zinakatika, yamebaki masaa tu. Sina kampani, nipo nipo tu. Nani anaenda anipe kampani? Click to expand... waabudu mashetan wataenda utakutana nao huko mt 7:13-14
HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,425 94,713 Oct 4, 2012 #5 Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Inside10 JF-Expert Member May 20, 2011 26,095 23,972 Oct 4, 2012 #6 Jana mimi nlpata complimentary leo nmeiuza buku 10.. Cwez kwenda kwenye ushenzi
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Nov 25, 2010 62,204 128,031 Oct 4, 2012 #7 Ndo nini iyo? Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums