FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Hili swala la huyu jamaa nimekuwa kila mara natafakari sipati majibu..
Mpaka sasa sijaamini na sitaamini kama aliomba Rushwa.
Kijana aliyekuwa anaipinga Rushwa na akijua kabisa kuna watu wanamchukia bado akaombe rushwa
La La Tz bwana ni zaidi ya vile tuijuavyo
Mpaka sasa sijaamini na sitaamini kama aliomba Rushwa.
Kijana aliyekuwa anaipinga Rushwa na akijua kabisa kuna watu wanamchukia bado akaombe rushwa
La La Tz bwana ni zaidi ya vile tuijuavyo