Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Nani aiue CUF wakati ilikufa zamani? Kwani hamkujua kuwa CUF ni Seif na Seif ni CUF? Wanangu, tangu alipogeuzwa nyumba ndogo jeneza lake kisiasa lilishushwa kaburini (ofisi ya makamu wa rais wa Zanzibar).