Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,363
CUF kilikuwa chama chenye nguvu sana nchini tanzania.watu walikikubali wengi walijiunga nacho na wale ambao hawakujiunga walikubali nguvu iliyokuwa nayo CUF tena kilikuwa chama chenye uongozi imara. damu nyingi imemwagika kukipigania chama hicho haswa zanzibar. 2011-1-2012 tumekuwa tukisikia migogoro mingi ndani ya CUF, lakini pia pale CUF ilipoungana na CCM kule Zanzibar ule ngangali wa CUF ukapotea ghafla na wananchi pia wakasikika wakilalamika kuwa viongozi wao hawawajali tena bali kutekeleza ilani ya CCM. sasa viongozi wanajitoa wanachama wanajitoa chama si chama tena ila imekuwa vurugu tupu CUF hiyoooooooooooooooo inakufa taratibu na hakuna wa kuonesha kuisimamia isiondoke viongozi wake waasisi wenye uchungu na chama hiki wako wapi? au ndio wamenamazishwa au siku hizi uzalendo na chama hichi haupo tena au wameshapata walichokuwa wanatafuta?
jukwaa hili laweza changanua mambo kwa kina kujua haswa nani aliyoiua CUF kwa data mbalimbali pasi shaka yaweza kuwa msaada kwa vyama vingine .
jukwaa hili laweza changanua mambo kwa kina kujua haswa nani aliyoiua CUF kwa data mbalimbali pasi shaka yaweza kuwa msaada kwa vyama vingine .