Nani anafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani? andika jina hapa chini bila chuki...

Mwakyembe aende mambo ya ndani na kangi lugora apewe ulinzi na usalama, mifugo apewe mhadhiri dr ngalinda .....atleast kidogo inaweza kuleta maana.
 
Mkuu sio hivyo,

Uliwahi msikia Nyalandu akifoka bungeni? lakini mbona Rais kamuona na kila mtu anamkubali

Lowasa au mrema hawakupewa uwaziri kwa kupiga kelele lakini kila mtu anawajua jinsi walivyo wachapa kazi.

Deo ni mchapa kazi mzuri na amelionyesha hilo kwa vitendo akiwa mbunge hivyo inabidi apewe kibarua aweze kuonyesha makucha yake

Hata EL kama akikubali kurudi kwenye baraza anaweza kufaa sana hapo

Sidhani kama Deo anaweza kukaa hapo, tatizo kwake ni umri kwani kuna kipindi wizara hiyo ilipata waziri anaweka nguo za disco ofisini, alafu anakuwa anapenda saluti hata akiwa club.
Kwa upande wa EL, wizara inahitaji mtu ambae akipinga rushwa ataonekana anamaanisha.
Wizara haitaki waziri anayedhani atafanyiwa nini, ila anayekwenda kutoa mchango wake kuboresha vitendea kazi na maslahi ya wapiganaji ili badala ya kufikiri wale nini wafikiri waboreshe vipi utendaji wao.
Lugola is the man, labda Deo awe naibu wake ili awe the model ya watu wa rank za chini alizohudhuria.
 
Sidhani kama Deo anaweza kukaa hapo, tatizo kwake ni umri kwani kuna kipindi wizara hiyo ilipata waziri anaweka nguo za disco ofisini, alafu anakuwa anapenda saluti hata akiwa club.
Kwa upande wa EL, wizara inahitaji mtu ambae akipinga rushwa ataonekana anamaanisha.
Wizara haitaki waziri anayedhani atafanyiwa nini, ila anayekwenda kutoa mchango wake kuboresha vitendea kazi na maslahi ya wapiganaji ili badala ya kufikiri wale nini wafikiri waboreshe vipi utendaji wao.
Lugola is the man, labda Deo awe naibu wake ili awe the model ya watu wa rank za chini alizohudhuria.
Mkuu naona Kangi Lugola amekubaliwa na wengi.

Nakubaliana na wazo lako Deo awe naibu wake ili wizara iendeshwe na mapolisi

Lowassa ana kitu ambacho wengi hawana

Lowassa ana command! Hicho ni kipaji alichozaliwa nacho ndio maana anakubalika sana, hata ukimpa tamisemi tu vumbi atakalotimua huko utaniambia. EL ni jembe
 
dr.mahiga ni mwanajeshi aliyemwondoa idd amin kyaka akiwa na kikosi cha makomando waliokatisha masomo israel baada ya brg.kiwelu kukimbilia bukoba.

baada ya vita alienda ubalozi india na gen.mayunga alienda nigeria. kwa sasa ni mkuu wa vikosi vya kulinda amani somalia.

Kwa ubalozi kama kuna special task huko siwezi ona ajabu as ubalozi ni zaid ya mahusiano yanayoonekana!!!!!!!!!
Na sio lazima iwe wazi kwa Raia wa kawaida....

Huyo aliyepelekwa kulinda amani i tell you hata yeye aliona heshima aliyopewa na huko walio chini yake watakuwa wanakula shule kila iitwayo leo!!!!!
 
Namchagua David Mwaibula. Huyu bwana alikuwa na ubunifu wa hali ya juu sijui alikosa nini System ikamsave kwenye Recycle Bin. Aliondoa vituo vya Daladala maeneo ya Benki, aliintroduce wazo la Uniform kwa Makonda, kupiga vita wapiga debe kwa kuandika Majina Ya Route za Daladala kwa herufi kubwa. List ya sifa zake inaendelea .
 
Sidhani kama Deo anaweza kukaa hapo, tatizo kwake ni umri kwani kuna kipindi wizara hiyo ilipata waziri anaweka nguo za disco ofisini, alafu anakuwa anapenda saluti hata akiwa club.
Kwa upande wa EL, wizara inahitaji mtu ambae akipinga rushwa ataonekana anamaanisha.
Wizara haitaki waziri anayedhani atafanyiwa nini, ila anayekwenda kutoa mchango wake kuboresha vitendea kazi na maslahi ya wapiganaji ili badala ya kufikiri wale nini wafikiri waboreshe vipi utendaji wao.
Lugola is the man, labda Deo awe naibu wake ili awe the model ya watu wa rank za chini alizohudhuria.

Ha ha haaaa una maanisha body guard abebe bia ya muheshimiwa!!!!!!!!!
 
Tatizo sio nani anaweza kuwa waziri na nani hawezi jamani kinachotakiwa hapa sio mtu bali katiba nzuri na thabiti. Katiba ndio moyo wa nchi hii tulionayo kwa sasa inamlinda huyu waziri, inampa madaraka raisi ya kufanya maamuzi mazuri na ya hovyo sasa hapa ndio pana shida waziri angetakiwa asiwe mbunge na achaguliwe na wananchi na kuwe na mhimili wa kusimamia maadili ya kazi hapa kwanza wangefanya kazi kwa kujituma tofauti na sasa utaratibu unaotumika ni mbovu leo rais kaamua kuongeza wizara ruksa mara manaibu wawili hayo yote kulipana fadhila tu lakini kama kweli viongozi wetu wangekuwa wana hofu ya mungu hao mawaziri wasingetakiwa wazidi 15 huu utitiri wa manaibu waziri sijui makatibu wakuu huku ni kupoteza hela za walipa kodi bure tu na ndio maana watu wanakwepa kulipa kodi kwa vile hawaoni faida yake manake hela zote zinaishia kuwalipa hawa viongozi mizigo na kubadilisha fenicha za maofisi yao kila mwaka pamoja na magari ya kifaari madai yao wanataka kujilinganisha na nchi zilizoendelea mbona vitu vizuri hawaigi wanapenda kuiga vitu vya anasa tu inaonyesha ni jinsi gani hawa viongozi walivyokuwa wabinafsi na kukosa maarifa nampa big up sana kagame huwezi mlinganisha na hawa wa kwetu.
 
kwani sifa za kuongoza hiyo wizara ni zipi?ndio tatizo la likatiba la sasa,hii kazi ilitakiwa kfanyiwa maombi na interview kama kazi nyingine,wataalam wachambue sifa za mgombea,sifa za sasa hivi ni mtu mwenye uwezo wa kutoa maagizo kwa polisi kuwaua viongozi na wafuasi wa chadema..naitukana katiba na ccm...serukamba you.

Mkuu tafadhali na katiba,nakumbuka kuna kiongozi mmoja wa upinzani miaka ya nyuma aliwahi kuisigina katiba pale jangwani,kilicho mpata anakijua
 
Mkuu naona Kangi Lugola amekubaliwa na wengi.

Nakubaliana na wazo lako Deo awe naibu wake ili wizara iendeshwe na mapolisi

Lowassa ana kitu ambacho wengi hawana

Lowassa ana command! Hicho ni kipaji alichozaliwa nacho ndio maana anakubalika sana, hata ukimpa tamisemi tu vumbi atakalotimua huko utaniambia. EL ni jembe

Rambi rambi za wajane pls
 
Back
Top Bottom