unaweza kusibitishaSitta;
Nchimbi
- Ana makundi na wanamtandao. Akiwa spika atalinda maslahi ya makundi, hafai
- Ana makundi na wanamtandao. Akiwa spika atalinda maslahi yao. Alijidhihirisha pale alipojitokeza mbele ya vyombo kupinga uamuzi sahihi wa chama badala ya kufuata taratibu halali za chama. Kuna uwezekano akashiriki kuiangusha serikali ya Dr Magufuli.
Napendekeza
- Nape Nnauye
- Dr. Ashatu Kijaji
unaweza kusibitishapSitta;
Nchimbi
- Ana makundi na wanamtandao. Akiwa spika atalinda maslahi ya makundi, hafai
- Ana makundi na wanamtandao. Akiwa spika atalinda maslahi yao. Alijidhihirisha pale alipojitokeza mbele ya vyombo kupinga uamuzi sahihi wa chama badala ya kufuata taratibu halali za chama. Kuna uwezekano akashiriki kuiangusha serikali ya Dr Magufuli.
Napendekeza
- Nape Nnauye
- Dr. Ashatu Kijaji
Sitta;
Nchimbi
- Ana makundi na wanamtandao. Akiwa spika atalinda maslahi ya makundi, hafai
- Ana makundi na wanamtandao. Akiwa spika atalinda maslahi yao. Alijidhihirisha pale alipojitokeza mbele ya vyombo kupinga uamuzi sahihi wa chama badala ya kufuata taratibu halali za chama. Kuna uwezekano akashiriki kuiangusha serikali ya Dr Magufuli.
Napendekeza
- Nape Nnauye
- Dr. Ashatu Kijaji
Nilijua kuwa utagombea Uspika wa Bunge. Jana imejidhihiri. Umechukua fomu za kugombea Uspika rasmi. Utazirejesha fomu leo. Najua. Nipo hapa Dodoma kukusubiri kuona utakavyokatwa.
Hapa Dodoma,vikao vya CCM na Bunge vitaketi na ku-act. Nipo hapa kufanya niwezalo ili usiwe Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania. Huwezi kuwa tena Spika. Nitakuangusha kwa hoja za haja na lugha ya tamu lahaja.
Samwel Sitta,karibu Dodoma uone utamu wa mchezo ulioingia kuucheza!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Sasa hivi zamu ya Zanzibar manaake yule jamaa hata mkisema zamu ya walemavu anaweza akajitengua mguu aje kilema siku ya uchaguzi. Ni bora akapumzika tu
Spika Sitta, Naibu Zungu