ras mkweli
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 280
- 104
slaa sio fisadi anasimu ya tochi
Leo nipo safarini nasafiri kwa usafiri wa bus , nategemea kusafiri umbali wa zaidi ya km . 900 , mpaka saa hizi tumesha maliza km.600.
Ndani ya bus tulilopanda mjadala uliopo ni wa uraisi , nani anafaa kuiongoza tanzania ya leo . Sijawa mchangiaji lakini mawazo ya wengi humu yanasema raisi akiwa lowasa au dr. Slaa si mbaya wanadai kwa sababu wote ni watu wa kuchukua maamuzi magumu. Naona wengi wanaponda Pinda kwamba hafai kuwa raisi kama tatizo la albino tu ameshindwa ataweza uraisi. Membe na wengine hawazungumziwi kabisa sijui kwa nini wadau .
Watu humu wanasema Lowasa si mwizi wa Richmond na yeye kasema ikifika muda atasema ukweli juu ya richmond na kumbainisha nani mwizi. Watu wanajua mambo humu ndani ya bus utadhani walikuwepo.
Lowasa hafai nchi hii ni Dr.Slaa atosha basi