Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,074
Wadau wenye akili kubwa tulimjua shujaa wa ajali ya ndege iliyoua abiria 19 kuwa ni abiria aiitwaye Victor na mfanyakazi wa ndege walioshirikiana kuufungua mlango wa ndege kwa ndani na huyo Bw.Victor ndiye aliyesimama mlangoni kuwavusha abiria kuingia kwenye mtumbwi. Pia huyo huyo Bw. Victor ndiye aliyemtuma majaliwa kuangalia begi lake.
Je, ni nani aliyemtangaza kijana Majaliwa kuwa shujaa na kwa vigezo gani?
Je, ni nani aliyemtangaza kijana Majaliwa kuwa shujaa na kwa vigezo gani?