Nyabhakangala
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 840
- 792
sio sawa kipofu na kipofu hawawezi kuongozana lazima mmoja awe anamacho yanayofanya kazwakaka hapo ndo mnaponiacha hoi,mnataka wasichana ambao hawajafanya mapenzi lkn ww hapo umeshafanya wee za kila aina sasa unatafuta na ya bikira uone kama inatofauti.Mim ninayo but not available.
Ningekua na uwezo ningesema mabikira waolewe na wanaume bikira na waliotumika waolewe na waliotumia.
Sent using Jamii Forums mobile app