mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,843
- 3,128
Inasikitisha sana, watanzania tutumie nguvu kupata mabadililko ya katiba mpya, CCM bila kuvunja amani hawataruhu katiba mpya.
Katiba hii ikibadilishwa CCM itatoka madarakani,hivyo hawako tayari ibadilishwshe.
Wajumbe wote karibu wamepigwa butwaa
Katiba hii ikibadilishwa CCM itatoka madarakani,hivyo hawako tayari ibadilishwshe.
Wajumbe wote karibu wamepigwa butwaa