Don Mangi JF-Expert Member Nov 1, 2010 2,198 852 Feb 12, 2012 #2 na mie ilikua nianzishe uzi kama huu leo,cjui yuko wapi, waje watuhabarishe wadau
Eeka Mangi JF-Expert Member Jul 27, 2008 3,173 481 Feb 12, 2012 #3 Maumivu yamezidi nini Mangi? Naona unataka kumwona daktari
Losambo JF-Expert Member Nov 8, 2011 2,612 864 Feb 12, 2012 #4 Konakali said: Yuko wapi mjumbe huyu? Click to expand... Baba Mngoni mama Mchaga atakuja tu.
mpinga shetani JF-Expert Member Nov 22, 2010 3,236 954 Feb 12, 2012 #5 Losambo said: Baba Mngoni mama Mchaga atakuja tu. Click to expand... Mmecheki jukwaa la mapenzi? Hata hivyo tarehe ya watu kama yeye ndio imewadia, nadhani kurudi humu ni Alhamisi ijayo.
Losambo said: Baba Mngoni mama Mchaga atakuja tu. Click to expand... Mmecheki jukwaa la mapenzi? Hata hivyo tarehe ya watu kama yeye ndio imewadia, nadhani kurudi humu ni Alhamisi ijayo.
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 Feb 12, 2012 #6 @arusha baba mngoni mama mchaga.
Mtalingolo JF-Expert Member Aug 4, 2011 2,181 409 Feb 12, 2012 #7 Mwacheni apunguze stress za matokeo jamani... Chezea four ya mwisho wewe?
Don Mangi JF-Expert Member Nov 1, 2010 2,198 852 Feb 13, 2012 #9 Eeka Mangi said: Maumivu yamezidi nini Mangi? Naona unataka kumwona daktari Click to expand... Wacha 2 meku, yani maumivu maradufu. . .
Eeka Mangi said: Maumivu yamezidi nini Mangi? Naona unataka kumwona daktari Click to expand... Wacha 2 meku, yani maumivu maradufu. . .
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,786 Feb 13, 2012 #10 Mi nangojea khabari kutoka kwa NazJaz. Nahisi this year atakuwa kaenda mwezini kabis na yule boifrendi mjuzi mwenye mahela.
Mi nangojea khabari kutoka kwa NazJaz. Nahisi this year atakuwa kaenda mwezini kabis na yule boifrendi mjuzi mwenye mahela.