Hussein J Mahenga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 745
- 633
- Thread starter
- #21
wakati unaposti hii ulikuwa umetoka klabu, eeh?
Sijawah kuingia club hata cku moja na kama nimekubore kutuma hii thread hapa basi nisamehe! I real love her!
wakati unaposti hii ulikuwa umetoka klabu, eeh?
teh teh tehUmeanza kupenda wanaume wenzako sasa? Loh!
Niko ibadani subiri pastor afunge ibada ntarudi tena
Awww too cute :A S-heart-2:
Lakini Mkubwa haipendezi kuanika picha yake hapa. Mhifadhi moyoni mwako tu. Imetosha iondoe picha yake sasa
Ahsante
teh teh teh
Kwa hiyo una maana 'barafu wa moyo' wa huyu dogo ana sura na shepu ya kiume?? mwenzio hivi sasa analeta hii picha mara ya pili hii ya 'J-Lo' wake na kutangaza nia, wewe unataka afe kwa presha !
Umeniharibia siku.Kila nikiongea naye,mapigo huenda mbio na hatimaye nabaki kimya!
Umeniharibia siku.
Kuna umuhimu wa kufanya vetting/screening ya nani anajiunga na Jamii Forums.
aminia..!Kaka na dada zngu,pengne hata wenye umri wa kuitw mama au baba zngu wapo hapa so nlitarajia ushaur wa hekima na busara kunijenga mdogo wenu lakini nashangaa vle mnavyoninyanyapaa! Kw sheria ya tanzania ni ruksa kw yeyote kueleza hsia zke! Nampenda sana huyu binti!
aminia..!