Nampenda sana huyu binti lakini nawaza...

KALINZI NYUMBANI

JF-Expert Member
Jan 7, 2015
1,660
1,168
Wakuu,

Nampenda sana huyu binti lakini nawaza kumuacha.Tatizo lake kubwa anahimili sita kwa sita dakika chache.Some time anachukua dakika 6 anadai katosheka wakati mie ndo mzuka umenipanda.

Pia kitu kingine ana uke mdogo kiasi kwamba nisipomuingilia mara kwa mara huwa unarudi nakuwa mdogo sana.Kipindi kingine hata kumuingilia nashindwa anaanza kulia kuwa anasikia maumivu.

Kumuandaa namuandaa vya kutosha takribani dakika 20 mpaka 25.Sasa sijui tatizo ni nini.Maana huwa ananionyesha ishara zote za kutaka niingie uwanjani lakini ndo hivo muda mwingine nashindwa kabisa.

Nimejaribu kuongea nae tujue tatizo ni nini, lakini kadai kuwa muda mwingine huwa akilala anaota anafanya sex na akijishika ukeni anakuta mbegu.

Anadai aliwahi kwenda kwa mganga wa kienyeji na baba yake wakadai huwa anaingiliwa na jini.Alipewa dawa na hali hiyo ikapotea lakini sasa imeanza kujirudia.

Kiukweli nimekaa nalo moyoni nimeshidwa.Nimeona bora nililete hapa mnishauri nifanyeje.

Nampenda sana huyu binti, lakini ndio hivo mawazo yakumuacha yananiijia.Sijui kiukweli nifanyaje wadau.

Muda nilio tangu tumeanza mahusiano ni miez 9 mpaka sasa.

Nimeandika story kwa ufupi tu.

Asanteni.

cc:Heaven sent,Mshana jr,The Boss,watu8,miss chagga,rubii,Mzizi mkavu,EMT,Elli.
 
Polee sana ... Ila kumuacha kisa hiko sio vyema japo babake nayeye hawakufanya vyema kwenda kwa mganga hua ninaamini kwa mganga hasaidii Bali anaongeza tatizo .... Aende akaombewe kama anaota hivo alafu nae ajisimamie aombe hayatamsogelea maana hayana mamlaka kwa mwili wa Mtu akiliitia jina la Yesu.
 
Wakuu nampenda sana huyu binti lakini nawaza kumuacha.Tatizo lake kubwa anahimili sita kwa sita dakika chache.Some time anachukua dakika 6 anadai katosheka wakati mie ndo mzuka umenipanda.

Pia kitu kingine ana uke mdogo kiasi kwamba nisipomuingilia mara kwa mala huwa unarudi nakuwa mdogo sana.Kipindi kingine hata kumuingilia nashindwa anaanza kulia kuwa anasikia maumivu.

Kumuandaa namuandaa vya kutosha takribani dakika 20 mpaka 25.Sasa sijui tatizo ni nini.Maana huwa ananionyesha ishara zote za kutaka niingie uwanjani lkn ndo hivo muda mwingine nashindwa kabisa.

Nimejaribu kuongea nae tujue tatizo ni nini,lakini kadai kuwa muda mwingine huwa akilala anaota anafanya sex na akijishika ukeni anakuta mbegu.

Anadai aliwahi kwenda kwa mganga wa kienyeji na baba yake wakadai huwa anaingiliwa na jini.Alipewa dawa na hali hiyo ikapotea lakini sasa imeanza kujirudia.

Kiukweli nimekaa nalo moyoni nimeshidwa.Nimeona bora nililete hapa mnishauli nifanyeje.

Nampenda sana huyu binti,lakini ndio hivo mawazo yakumuacha yananiijia.Sijui kiukweli nifanyaje wadau.

Muda nilio tangu tumeanza mahusiano ni miez 9 mpaka sasa.

Nimeandika story kwa ufupi tu.

Asanteni.

cc:heaven sent,Mshana jr,The Boss,watu8,Miss chaga,rubii,Mzizi mkavu,EMT,Elli.
Ur wife is under spiritual husband possession like it or not, unajuwa spiritual husband nae ana wivu kama hujuwi, na hatapenda kuona upo anaye na nilazima amfanye binti kuchukia tendo ukifanya nae, sasa kazi yake kuu ni kuharibu ili wewe upaniki na muwachane, na spiritual husband anatolewa kwa maombi haswa sio vijiganga, mganga yoyote ni tapeli hana uwezo huo mganga
 
Wakuu nampenda sana huyu binti lakini nawaza kumuacha.Tatizo lake kubwa anahimili sita kwa sita dakika chache.Some time anachukua dakika 6 anadai katosheka wakati mie ndo mzuka umenipanda.

Pia kitu kingine ana uke mdogo kiasi kwamba nisipomuingilia mara kwa mala huwa unarudi nakuwa mdogo sana.Kipindi kingine hata kumuingilia nashindwa anaanza kulia kuwa anasikia maumivu.

Kumuandaa namuandaa vya kutosha takribani dakika 20 mpaka 25.Sasa sijui tatizo ni nini.Maana huwa ananionyesha ishara zote za kutaka niingie uwanjani lkn ndo hivo muda mwingine nashindwa kabisa.

Nimejaribu kuongea nae tujue tatizo ni nini,lakini kadai kuwa muda mwingine huwa akilala anaota anafanya sex na akijishika ukeni anakuta mbegu.

Anadai aliwahi kwenda kwa mganga wa kienyeji na baba yake wakadai huwa anaingiliwa na jini.Alipewa dawa na hali hiyo ikapotea lakini sasa imeanza kujirudia.

Kiukweli nimekaa nalo moyoni nimeshidwa.Nimeona bora nililete hapa mnishauli nifanyeje.

Nampenda sana huyu binti,lakini ndio hivo mawazo yakumuacha yananiijia.Sijui kiukweli nifanyaje wadau.

Muda nilio tangu tumeanza mahusiano ni miez 9 mpaka sasa.

Nimeandika story kwa ufupi tu.

Asanteni.

cc:heaven sent,Mshana jr,The Boss,watu8,miss chagga,rubii,Mzizi mkavu,EMT,Elli.
We Mwenyewe pia ni Jini so Ngoma Draw....

Huy Size yake ni Team Vibamia... we Na Rungu lako unamuonea sana haki yake kulia na kuchoka wamuumiza tu...

Njia Nyingine ni operation aongezwe size ya uke wake...
 
Wakuu nampenda sana huyu binti lakini nawaza kumuacha.Tatizo lake kubwa anahimili sita kwa sita dakika chache.Some time anachukua dakika 6 anadai katosheka wakati mie ndo mzuka umenipanda.

Pia kitu kingine ana uke mdogo kiasi kwamba nisipomuingilia mara kwa mala huwa unarudi nakuwa mdogo sana.Kipindi kingine hata kumuingilia nashindwa anaanza kulia kuwa anasikia maumivu.

Kumuandaa namuandaa vya kutosha takribani dakika 20 mpaka 25.Sasa sijui tatizo ni nini.Maana huwa ananionyesha ishara zote za kutaka niingie uwanjani lkn ndo hivo muda mwingine nashindwa kabisa.

Nimejaribu kuongea nae tujue tatizo ni nini,lakini kadai kuwa muda mwingine huwa akilala anaota anafanya sex na akijishika ukeni anakuta mbegu.

Anadai aliwahi kwenda kwa mganga wa kienyeji na baba yake wakadai huwa anaingiliwa na jini.Alipewa dawa na hali hiyo ikapotea lakini sasa imeanza kujirudia.

Kiukweli nimekaa nalo moyoni nimeshidwa.Nimeona bora nililete hapa mnishauli nifanyeje.

Nampenda sana huyu binti,lakini ndio hivo mawazo yakumuacha yananiijia.Sijui kiukweli nifanyaje wadau.

Muda nilio tangu tumeanza mahusiano ni miez 9 mpaka sasa.

Nimeandika story kwa ufupi tu.

Asanteni.

cc:heaven sent,Mshana jr,The Boss,watu8,miss chagga,rubii,Mzizi mkavu,EMT,Elli.
Unaweza Kuta ni Mtoto wa Jini Pia... Kuwa makini msije zaa Kina Hunzi bin Hunuz wapya... yale Majitu makubwa ya kale yaliyojenga Pyramids na Safina ya Nuhu.. Uzao wa Binadamu na Malaika au Jini
 
mkuu tiba ya ttz la mpenzio ipo na anapona kabisa
na hatua ya kwanza ya tiba ni ambapo ni msingi wa tiba
1.kuacha kuzini naye
2. kufunga ndoa

HUWEZI UKAOMBEWA UMTOE JINI MAHABA WAKATI WEWE UNAZINI NI KAZI BURE

majini mahaba huwaingia wanawake na kujenga makazi katika miili yao sasa wakinogewa hawapendi mtu mwingine naye apate utamu na mpk ikifikia hatua kuwa anaubinya uke ni hatari sana kwako anaweza akakuvunja hata NGUVUKIUME
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom