Point of correction:Hapo juu umesema neno tunatiana,inatakiwa useme ananitia,na hapo ndio inatakiwa umuheshimu,sababu anakupa huduma muhimu na malipo ndio hayo ya samaki na madikodiko ili arudihe afya mwilini baada ya kukuhudumia.Aisee nampenda sana mwanaume anaependa kujiongeza, anakujali, anakuheshimu, anakupa pesa si kwa malipo ya ngono au starehe mliofanya BIG NO, anaona furaha ukivaa na kupendeza kwa kutumia pesa zake.
Lakini MWANAUME WA AINA HII APITE MBALI NA MIMI:
1. Anapiga simu, "Baby nimekumiss, naomba nije kwako nikusalimie" Akija mikono mitupu, atakuta maskini umepika, unampa ale, aoge, mtiane, akae kwenye tv aangalie mieleka.
2. Vocha natoa mimi
3. Kitanda changu, mashuka, mito n. k
4. Hajatoa pesa ya chakula, lakini anavojua kukandia"bby spendi mchicha, si ungepika samaki" Utadhani kachangia pesa
SHIDA NI HIVI!
1. Kitandani 0
2. Matumizi 0
3. Usafi wa mazingira 0
4. Usafi wa binafsi 0
SASA WA NINI HUYU MWANAUME? HERI KUWA MKOBOAJI KULIKO KUJIPENDEKEZA KWA MTU AMBAE NI MZIGO, UPO NAE SABABU ANA JINSIA YA KIUME TU.
I love you too baby,i miss you.Nampenda niliempata huku JF aisee ananijali kila eneo. Humu humu ndani kuna watu wanathamini sana watu. I love you darling
Tell him,coz i am very jealous baby.Mwelewa dear, Tayari nimempata
Na huku ukiendelea kumkatikia au vipi?,sijaona zombie akakatikiwa na kupikiwa samaki.Ila sometimes heri kukaa kimya tu unamdere tu unamuona bonge la zombie hafai hata kwenye movie
Utakuwa huna mvuto tu,tena una sura kama nguzo ya umeme,mwanaume akipata demu mkali,basi hata kama hana pesa atageuka tapeli au atauza hata nyumba ya urithi ili mradi ahakikishe unafurahi siku zote mko pamoja,ukiona anasema baby nakuja kwako na akaja mikono mitupu na akauchuna tu huku akingoja pilau iive ale,na baadae akakufunue na kisha asubuhi akaoga kwako na kutumia towel yako,na akakaa mezani anangoja breakfast,basi ujue kakuona below standard na kujiaminisha kwamba yeye yupo juu kwa hadhi nakaja kukufariji na upweke wako wa kimaisha na kingono,kwa hiyo wewe ndio mwenye ulazima wa kugharamika sio yeye.Kwa hiyo jichunguze ili usitupie lawama wanaume.Kuondoa dhana ya kunilipa, ni vyema ukanogesha mapenzi yetu wakati mwingine, sio lazima siku hiyo hiyo tuliofurahia vikojoleo kukutana kwa upendo ndio uninunulie vitu, no! Unaweza jipanga siku tofauti ukaniuliza honey utapenda mwezi huu tuongeze nini hapa ndani kwako, au unapenda tubadilishe nini? About finance i will support you my love!!!
Heeeeeee, mbona hako kamchezo kwangu huwa hakapo? Yaan mie n wa mume mmoja tuuuuuu!!!!!Sina hela best ila kuna mtu kanitonya kuwa unakopesha penzi, can you help me please??
Huyo mume mmoja tu ni yule mchumba uliempata juzi juzi dear?Heeeeeee, mbona hako kamchezo kwangu huwa hakapo? Yaan mie n wa mume mmoja tuuuuuu!!!!!
Una mambo!!!!! Hata cmjui unaesemaHuyo mume mmoja tu ni yule mchumba uliempata juzi juzi dear?
Kwani mchumba ulie nae sasa hivi umempata lini dear?Una mambo!!!!! Hata cmjui unaesema
Ok, lakini mi nimejipinda nikanunua mchicha ili tule tushibe, yy ajatoa senti tano anadai anataka samaki, sjui anahisi wakwe zake ni WAVUVIPoint of correction:Hapo juu umesema neno tunatiana,inatakiwa useme ananitia,na hapo ndio inatakiwa umuheshimu,sababu anakupa huduma muhimu na malipo ndio hayo ya samaki na madikodiko ili arudihe afya mwilini baada ya kukuhudumia.
Watanzania wengi ni wagumu sana kuelewa, someni thread muielewe jamani. Mimi sjalalamika, "NIMESEMA KUNA WANAUME WA AINA HIYO, WAPITE MBALI NA MIMI, "Utakuwa huna mvuto tu,tena una sura kama nguzo ya umeme,mwanaume akipata demu mkali,basi hata kama hana pesa atageuka tapeli au atauza hata nyumba ya urithi ili mradi ahakikishe unafurahi siku zote mko pamoja,ukiona anasema baby nakuja kwako na akaja mikono mitupu na akauchuna tu huku akingoja pilau iive ale,na baadae akakufunue na kisha asubuhi akaoga kwako na kutumia towel yako,na akakaa mezani anangoja breakfast,basi ujue kakuona below standard na kujiaminisha kwamba yeye yupo juu kwa hadhi nakaja kukufariji na upweke wako wa kimaisha na kingono,kwa hiyo wewe ndio mwenye ulazima wa kugharamika sio yeye.Kwa hiyo jichunguze ili usitupie lawama wanaume.
Hapo kweli kaharibu,ilitakiwa aje kwako at least na 2 discs of 12 inch Italian pizzas mamii.Ok, lakini mi nimejipinda nikanunua mchicha ili tule tushibe, yy ajatoa senti tano anadai anataka samaki, sjui anahisi wakwe zake ni WAVUVI
Basi mamii unisamehe,mimi nilitaka kuchangamsha jukwaa,sikumaanisha kivile.Watanzania wengi ni wagumu sana kuelewa, someni thread muielewe jamani. Mimi sjalalamika, "NIMESEMA KUNA WANAUME WA AINA HIYO, WAPITE MBALI NA MIMI, "
Ok sweetieBasi mamii unisamehe,mimi nilitaka kuchangamsha jukwaa,sikumaanisha kivile.
Thanx mamii.Ok sweetie