by default
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 839
- 215
Habari wana MMU,
Naombeni ushauri wenu; kuna msichana ninampenda nataman aje kuwa my wife lakini amekuwa mgumu kufunguka alipomalza six 2010 nilimgusia kuwa nataka kuwa nae akawa na kauli tata mara yupo inrelationshp mara yupo busy na shule ikatokea nikasafir nilporudi nikakuta kaenda souz kusoma, nilmtafuta kweny facebook nikampata 2011 nikamuomba # akanipa lakni sikuwa nawasliana nae sana mwaka uhu april kabdilsha mtandao.majuma mawil yaliyopta alikuwa TZ likizo nilimuomba namba kuptia facebook akanipatia tukawasiliana lakni sikugusia mapenzi. Nikamuomb # ya south akanipromic atanipatia namb anayotumia huko akishafika lakini sikumoja kabla ajaondoka nilimpgia kumtakia safar njema akanipotezea,kesho yake asubuh simu yake ikawa off.
Juzi nimemuandikia inbox nikafunguka kuonyesha dhamira bado nampenda mtoto kanipotezea. Upande wa pili mama yake na binti ni family friend na tangu MAMA yangu amefariki last year amekuwa akiwasiliana nami mara moja moja, imefkia stage ananipa ushauri nisiowe mwanamke wa kabila la mbali, lakni sijawai mwambia huyu mama kuwa nampenda binti yake nayey ajawai kumtaja wakat tupo kweny mazungumzo ila uwa ananiambia ARUSHA wapo mabinti wazuri sana. Utata kwa huyu mama ni kwamba kijana wake kaowa mzungu.
Naombeni ushauri wenu; kuna msichana ninampenda nataman aje kuwa my wife lakini amekuwa mgumu kufunguka alipomalza six 2010 nilimgusia kuwa nataka kuwa nae akawa na kauli tata mara yupo inrelationshp mara yupo busy na shule ikatokea nikasafir nilporudi nikakuta kaenda souz kusoma, nilmtafuta kweny facebook nikampata 2011 nikamuomba # akanipa lakni sikuwa nawasliana nae sana mwaka uhu april kabdilsha mtandao.majuma mawil yaliyopta alikuwa TZ likizo nilimuomba namba kuptia facebook akanipatia tukawasiliana lakni sikugusia mapenzi. Nikamuomb # ya south akanipromic atanipatia namb anayotumia huko akishafika lakini sikumoja kabla ajaondoka nilimpgia kumtakia safar njema akanipotezea,kesho yake asubuh simu yake ikawa off.
Juzi nimemuandikia inbox nikafunguka kuonyesha dhamira bado nampenda mtoto kanipotezea. Upande wa pili mama yake na binti ni family friend na tangu MAMA yangu amefariki last year amekuwa akiwasiliana nami mara moja moja, imefkia stage ananipa ushauri nisiowe mwanamke wa kabila la mbali, lakni sijawai mwambia huyu mama kuwa nampenda binti yake nayey ajawai kumtaja wakat tupo kweny mazungumzo ila uwa ananiambia ARUSHA wapo mabinti wazuri sana. Utata kwa huyu mama ni kwamba kijana wake kaowa mzungu.