Calvin75
New Member
- Jul 27, 2015
- 2
- 5
Vipimo
Kuku - 3 Lb
Mayai - 6
Baking Powder - 1 kijiko cha chai
Pilipili boga - Robo kipande
Kitunguu maji - 1 kidogo
Pilipili manga ya unga - 1 kijiko cha chai
Kitunguu saumu(thomu) na Tangawizi - 1 kijiko cha supu
Chumvi - ½ kijiko cha chai
Mafuta ya kuchomea
Namna ya kutayarisha na kupika
Kuku - 3 Lb
Mayai - 6
Baking Powder - 1 kijiko cha chai
Pilipili boga - Robo kipande
Kitunguu maji - 1 kidogo
Pilipili manga ya unga - 1 kijiko cha chai
Kitunguu saumu(thomu) na Tangawizi - 1 kijiko cha supu
Chumvi - ½ kijiko cha chai
Mafuta ya kuchomea
Namna ya kutayarisha na kupika
- Chemsha kuku mpaka awive. hakikisha umemchemsha na viungo vyote. baada ya kuwiva, toa mifupa kwa kunyambua mnofu vipande vidogo vidogo.
- Kata kitunguu vipande vidogo vidogo
- Kata pilipili boga (la kijani) vipa.......